Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

17 Desemba 2021

17 Desemba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza jarida, kama ilivyoada ijumaa tunakuleta mada kwa kina na hii leo ni kutoka katika taifa changa zaidi Afrika, Sudan Kusini huko tutasikia namna msanii wa uchoraji anavyoinua jamii yake hususan wanawake. 

pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa ufupi na kujifunza kiswahili 

Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
11'50"