Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

24 Novemba 2021

24 Novemba 2021

Pakua

karibu kusikiliza jarida hii leo Flora Nducha anakuletea mada kwa kina maalum ikiwa ni kelele cha wiki ya kukuza uelewa kuhusu viuajiumbemaradhi, utasikia ushiriki wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula. 

Kabla ya mada hiyo kwa kina utasikia habari kwa ufupi zikiangazia masuala ya COVID-19 ambapo taarifa zinaonesha maambukizi yameendelea kuongezeka hususan barani ulaya lakini barani Afrika yamepungua. 

Pia utasikia kuhusu chanjo ya COVID-19 kwa watoto na Barubaru pamoja na wito uliotolewa kwa nchi zote duniani kuhusu usawa wa kijinsia. 

Karibu. 

Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
12'33"