Tusaidie vijana waache uhalifu kwa kuwapa mbinu mbadala ; Wango Michael
Pakua
Mwandishi wetu wa Kenya, Jason Nyakundi anafanya mahojiano na Wango Michael kutoka shirika la Reformers Sports and Community Services kwenye mtaa wa Kayole mjini Nairobi. Shirila la Reformers sports and community Services huwasaidia vijana kuacha uhalifu na kufanya mambo ya kujitegemea maishani.
Audio Credit
Jason Nyakundi
Audio Duration
3'7"