Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watafiti wakifanya kazi kwa pamoja na kushirikiana na sekta nyingine, maendeleo ya wananchi yatapatikana

Watafiti wakifanya kazi kwa pamoja na kushirikiana na sekta nyingine, maendeleo ya wananchi yatapatikana

Pakua

Mkutano unaohusu utafiti, sayansi teknolojia na uvumbuzi katika kukuza ushirikiano na maendeleo katika nchi za Afrika Mashariki ikiwa ni sehemu ya mbio za kuyafikia malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu, SDGs, ulioandaliwa na Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo kwa kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu umehitimishwa leo jijini Bunjumbura kwa kunuia kuwapa nafasi watafiti katika kukuza uchumi.

Banyankimbona Gaspard ni Mwenyekiti wa Baraza la vyuo vikuu  Afrika Mashariki ambao ni wadau wa mkutano huo

Mwenyekiti Banyankimbona anaeleza ni kwa nini utafiti umefungamanishwa na sayansi na teknolojia katika ukuzaji wa uchumi

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
1'52"
Photo Credit
Photo: OCHA Burundi / Ana Maria Pereira