"Ulivyoligema utalinywa"
Pakua
Katika kujifunza Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa maana ya methali, "Ulivyoligema utalinywa" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani.
Audio Credit
Josephat Gitonga
Audio Duration
58"