Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 Oktoba 2021

22 Oktoba 2021

Pakua

Leo kama ilivyo ada ya Ijumaa tunakuletea mada kwa kina tukimulika siku ya Umoja wa Mataifa inayoadhimishwa tarehe 24 mwezi huu wa Oktoba.

Pia tutakuletea taarifa ya Habari ambapo utasikia kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania kimeshambuliwa huko DRC na ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres kwa ulimwengu katika kuadimisha siku ya Umoja wa Mataifa.

Kipengele cha kujifunza kiswahili hii leo ni kutoka kwa mchambuzi kutoka Kenya akifafanua maana ya methali, "Ulivyoligema utalinywa" msemo "

Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
14'4"