Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano na Katibu Mkuu wa UN

Mahojiano na Katibu Mkuu wa UN

Pakua

“Ni wakati wa kupiga kengele ya dharura”, amesema Katibu Mkuu wa UN katika mahojiano maalum na Idhaa ya Umoja wa Mataifa siku chache kabla ya kuanza kwa Mjadala wa Juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Akihojiwa na Assumpta Massoi wa UN News, António Guterres amegusia ushirikiano wa kimataifa, harakati za utoaji wa chanjo dhidi ya COVID-19 duniani, mabadiliko ya tabianchi, usawa wa jinsia, viijana, amani na usalama barani Afrika na duniani kwa ujumla

Audio Credit
Assumpta Massoi/Antonio Guterres
Audio Duration
9'34"
Photo Credit
UN Photo/Violaine Martin (file)