Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 21 Septemba 2021

Jarida 21 Septemba 2021

Pakua

Leo tarehe 21 Septemba mwaka 2021 ni siku ya amani duniani halikadhalika siku ya kwanza ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa katika makao makuu ya UN nchini Marekani.
Karibu Usikilize Jarida ambapo utasikia mengi kuhusu #UNGA76

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
17'16"