Julai 29, 2021
Pakua
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, MONUSCO umepatia mafunzo ya mbinu za medani
Nchi ya Bhutan yafanikiwa kutoa chanjo kwa 90% ya watu wake wanaotakiwa kupata chanjo
Pia utasikia makala ya binti mdogo manusura wa usafirishaji haramu wa binadamu aliyesafirisha bila ridhaa yake na kubakwa.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'23"