21 Julai 2021 21 Julai 2021 Jarida la Habari Pakua Jaridani Julai 21, 2021- UN yaendelea kuwasaidia wakimbizi wa ndani walioyakimbia mashambulizi katika makazi yao Sudan Kusini. UNHCR yawajengea makazi wakimbizi wa ndani DRC. Mradi wa Benki ya Dunia Ghana waleta furaha kwa kaya maskini. Audio Credit Assumpta Massoi Audio Duration 11'49" sudan kusini wakimbizi DRC