Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

21 Julai 2021

21 Julai 2021

Pakua

Jaridani Julai 21, 2021-

UN yaendelea kuwasaidia wakimbizi wa ndani walioyakimbia mashambulizi katika makazi yao Sudan Kusini.

UNHCR yawajengea makazi wakimbizi wa ndani DRC.

Mradi wa Benki ya Dunia Ghana waleta furaha kwa kaya maskini.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'49"