JUNI 28 2021
Pakua
Uchambuzi wa habari zetu hii leo ambapo kuelekea siku ya mabunge duniani juni 30 tutakuletea mahojiano maalum na mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Neema Lugangira kuhusu nafasi ya bunge kwa umma ikiwemo kuelimisha kuhusu mapambano ya Janga la CORONA.
Pia utasikia habari kwa ufupi ambapo Flora Nducha atakujuza kuhusu ripoti ya UNODC, ubaguzi wa kimfumo na angalizo la WHO kuhusu akili bandia kwa afya.
Audio Credit
Assumpta Massoi