Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juni 25 2021

Juni 25 2021

Pakua

Katika uchambuzi wa habari zetu hii leo Ijumaa  tutaelekea nchini Afghanistan kutazama namna mradi wa ukarabati wa mfereji wa umwagiliaji ulivyobadilisha maisha ya wananchi. Pia tutajifunza Kiswahili katika Neno la wiki, Dkt. Mwanahija Ali Juma Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar BAKIZA anafafanua maana ya msemo " IMANI YA DAKTARI. 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
10'19"