Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

26 Mei 2021

26 Mei 2021

Pakua

Hii leo jaridani Leah Mushi anaanzia na habari kuhusu haki za binadamu hususan wahamiaji wanaokufa maji huko bahari ya Mediteranea. Kisha Sudan Kusini ambako mradi wa UNIDO umeleta nuru na anakwenda Burundi ambako Ziwa Tanganyika maji yamefurika na kufurusha watu. Makala ni Kenya kwao Teknowgalz na mashinani ni  Zambia! karibu.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'11"