Jaridani leo na Flora Nducha anakuletea Habari kwa ufupi, Mada kwa kina ikimulika hali ya watoto nchini India ambako kunashuhudiwa sintofahamu kufuatia awamu ya pili ya COVID-19 na katika kujifunza kiswahili inachambuliwa methali, "ibilisi wa mtu ni mtu".