12 Mei 2021
Pakua
Hali ya njaa Madagascar ni tete! UN na serikali wataka msaada wa haraka.
Hospitali bila wauguzi ni sawa na gari bila injini, anasema Muuguzi Mildred Okemo.
Na mashirika ya UN yapambana na utapiamlo shuleni Guatemala.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'37"