Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kidato, shule ya mtandaoni Kenya, mkombozi wakati wa Covid-19

Kidato, shule ya mtandaoni Kenya, mkombozi wakati wa Covid-19

Pakua

Kufuatia kuzuka janga na Covid 19 uvumbuzi wa aina mbalimbali umeshuhudiwa sehemu tofauti duniani ili kuwawezesha watu kuendelea na maisha yao ya kila siku. Nchini Kenya mfanyabiashara Sam Gichuru ameanzisha shule ya mtandaoni kwa jina KIDATO ambayo imewasaidia wanafunzi sehemu mbalimbali duniani kuendela na masomo yao wakiwa nyumbani. Mwandishi wa Kenya Jason Nyakundi amezungumza na Divina Ogari, mmoja wa walimu katika shule hiyo kuweza kufahamu zaidi kuhusu shule ya KIDATO.

Audio Credit
Jason Nyakundi
Audio Duration
2'44"
Photo Credit
©UNICEF/Bernardino Soares