14 Aprili 2021
Pakua
Takribani nusu ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea, wananyimwa uhuru wao wa mwili, imesema ripoti ya UNFPA.
Kwa sababu ya COVID-19 Ramadhan mwaka huu itakuwa ngumu sana kwangu, anasema mkimbizi Anna anayeishi kwenye kambi ya wakimbizi ya Mbera nchini Mauritania.
Na FAO yatumia msemo wa tahadhari kabla ya hatari kunusuru mali na uhai Bangladesh.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
13'2"