13 Aprili 2021 13 Aprili 2021 Jarida la Habari Pakua Covid-19 imeongeza ugumu katika mapambano dhidi ya Chagas inayoua takribani watu 10,000 kila mwaka. UNICEF Sudan Kusini yamletea nuru Adut aliyekuwa hoi taaban. Na mradi wa FAO wa uhimilishaji ng’ombe nchini Syria ni nuru katikati ya giza. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 11'53" Chagas