Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 Aprili 2021

13 Aprili 2021

Pakua

Covid-19 imeongeza ugumu katika mapambano dhidi ya Chagas inayoua takribani watu 10,000 kila mwaka.

UNICEF Sudan Kusini yamletea nuru Adut aliyekuwa hoi taaban.

Na mradi wa FAO wa uhimilishaji ng’ombe nchini Syria ni  nuru katikati ya giza. 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'53"