Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

07 Aprili 2021

07 Aprili 2021

Pakua

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameueleza ulimwengu uzingatie tulichojifunza kutokana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi nchini Rwanda.

Wakimbizi kutoka Cabo Delgado wana kiwewe kufuatia walichoshuhudia, limeeleza shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.

Na kuelekea michezo ya majira ya joto ya olimpiki mwaka 2020 itakayofanyika huko Tokyo Japan kuanzia mwezi Julai mwaka huu, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limezindua kampeni ya #TheJourney.
 

Audio Duration
11'47"