06 Aprili 2021
Pakua
Mtu mmoja kati ya 3 DRC anakabiliwa na njaa kali, wengi wategemea mzizi Taro.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asema, "Tutumie siku ya afya duniani kuboresha mifumo ya afya."
Wanafunzi wakimbizi Iraq wanufaika na ubunifu wa Mwalimu wakati wa COVID-19.
Na mashinani ni harakati za kuweka mazingira bora kati ya wanyama na binadamu nchinI Uganda.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'28"