Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanamke, kwenye uongozi huletewi kadi kama harusi - Balozi Getrude Mongela.

Mwanamke, kwenye uongozi huletewi kadi kama harusi - Balozi Getrude Mongela.

Pakua

Mwanamke, kwenye uongozi huletewi kadi kama harusi - Balozi Getrude Mongela.

Kikao hiki cha 65 cha kamisheni ya hali ya wanawake duniani  CSW65 kilichoanza tarehe 15 Machi kikiwa sasa kinakamilisha wiki yake ya kwanza, wadau kwa namna mbalimbali kote duniani wanaendelea kujadili mada ya mwaka huu ambayo imejikita kwenye kuangazia wanawake katika uongozi ili kufikia dunia yenye usawa. 

Kupitia mahojiano haya yaliyofanywa na Stella Vuzo wa Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam, Tanzania, Balozi Getrude Mongela ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa mkutano wa kimataifa wa 4 wa wanawake uliofanyika Beijing, China miaka 25 iliyopita na ameshika nafasi mbalimbali za uongozi nchini mwake Tanzania na kwingineko kimataifa, je ana lipi katika suala hili la wanawake na uongozi? 

 

(MAHOJIANO NA BALOZI GETRUDE MONGELA)

Audio Credit
UN News/ Stella Vuzo-UNIC Dar
Sauti
6'44"
Photo Credit
UN Tanzania