18 MACHI 2021
Pakua
Katika Jarida maalum la Umoja wa Mataifa hii leo, Grace Kaneiya anakuletea
-Salamu za rambirambi zaendelea kutolewa kutoka Umoja wa Mataifa, mashirika yake na viongozi mbalimbali kufuatia kifo cha Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kilichotokea jana Machi 17
- Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Profesa Kennedy Gastorn amesema Tanzania, Afrika na jumuiya ya kimataifa imepoteza kiongozi mwenye uthubutu na daima ataenziwa John Magufuli
-Wananchi wa Tanzania wamuomboleza Rais wao aliyeaga dunia jana Machi 17
-Na mashinani leo utasiki ujumbe wa rambirambi kutoka kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia kifo cha Rais Magufuli wa Tanzania.
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
12'38"