Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

17 Machi 2021

17 Machi 2021

Pakua

COVID-19 kuingilia huduma za afya kumechangia vifo 239,000 vya kina mama na watoto Asia Kusini:UN 

UNHCR na wadau wa misaada wazindua ombi la dola bilioni 1.2 kusaidi wakimbizi wa Sudan Kusini

Hali ya wanawake ni hali ya demokrasia – Kamala Harris 

Makala imejikita nchini Tanzania na mashinani ni kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa UNFPA

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'45"