17 Machi 2021
Pakua
COVID-19 kuingilia huduma za afya kumechangia vifo 239,000 vya kina mama na watoto Asia Kusini:UN
UNHCR na wadau wa misaada wazindua ombi la dola bilioni 1.2 kusaidi wakimbizi wa Sudan Kusini
Hali ya wanawake ni hali ya demokrasia – Kamala Harris
Makala imejikita nchini Tanzania na mashinani ni kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa UNFPA
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'45"