Dola za Marekani bilioni 1.2 zinahitajika kwa ajili ya msaada muhimu kwa zaidi ya wakimbizi milioni 2.2 wa Sudan Kusini
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, na wadau wake wa misaada wamezindua ombi la dola za Marekani bilioni 1.2 kwa ajili ya msaada muhimu wa kibinadamu kwa zaidi ya wakimbizi milioni 2.2 wa Sudan Kusini, theluthi mbili wakiwa ni watoto.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ John Kibego
Audio Duration
2'16"