Huduma za afya zahitajika haraka ili kudhibiti atahri za COVID-19-Mashirika UN 17 Machi 2021 Habari kwa Ujumla Pakua Ripoti mpya ya pamoja iliyotolewa leo na mashirika ya Umoja wa Mataifa imesema huduma za afya lazima zirejeshwe haraka na kuimarishwa ili kudhibiti athari za janga la corona au COVID-19 kwa familia zisizojiweza na zilizo hatarini. Audio Credit Grace Kaneiya/ Flora Nducha Audio Duration 3' Photo Credit UNICEF/Omid Fazel afya Asia ya Kusini