Tutumie misimu ya matunda kila wakati ili kupata virutubisho kwa bei nafuu
Pakua
Tukiwa bado katika mwaka wa mbogamboga na matunda, mtaalamu wa lishe ambaye pia ni Mkurugenzi wa shirika la lishe la Nutrition International Kenya, Bi. Martha Nyagaya anashauri watu wawe wanatumia misimu ya matunda kuhakikisha wanakula matunda ya misimu hiyo ili kuepuka gharama na kuepuka kula tunda moja tu kwa kipindi chote kwani matunda na mbogamboga tofautitofauti zina manufaa tofautitofauti mwilini. Kupitia mahojiano haya yaliyofanywa na mwandishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi, Bi. Nyagaya anaanza kwa kueleza umuhimu wa kuhakikisha kila mlo unakuwa na mchanganyiko maalum wa vyakula.
Audio Credit
Anold Kayanda/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'27"