Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

01 Machi 2021

01 Machi 2021

Pakua

Hii leo jumatatu ya Machi Mosi ni mada kwa kina tukimulika mshindi wa tuzo ya Umoja wa Mataifa huko nchini kenya ambaye anatumia taka za plastiki kutengeneza matofali ya kutengenezea barabara Lakini kuna muhtasari wa habari ukimulika ubaguzi duniani, mwandishi wa habari kufariki dunia baada ya kuswekwa rumande huko Bangladesh na shambulizi huko Yemen. Mashinani tunaangazia COVID-19 na UKIMWI. Karibu na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
FLORA NDUCHA