Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

15 Februari 2021

15 Februari 2021

Pakua

Hii leo jaridani siku ya Jumatatu ni mada kwa kina na tunamulika nafasi ya redio katika jamii ya sasa na jinsi watangazaji walivyokwenda na wakati ili kuhakikisha chombo hicho adhimu kinaendelea kutekeleza majukumu yake. Katika kufanya hivyo tunakutana na Dina Marious wa kituo cha redio cha E-FM nchini Tanzania. Habari kwa ufupi tunamulika Ebola Guinea miongoni mwa taarifa muhimu. Mashinani tunaelekea nchini Kenya! Mwenyeji wako hii leo ni Grace Kaneiya, karibu!

Audio Credit
GRACE KANEIYA
Audio Duration
10'52"