Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

29 Januari 2021

29 Januari 2021

Pakua

Hii leo Ijumaa ni mada kwa kina , leo tutaelekea Nairobi, mji mkuu wa Kenya ambapo tutakutana na mfanyakazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Wanja Munaita akielezea jinsi alivyoweza kutimiza ndoto yake kuanzia kusaidiwa na shirika hilo hadi yeye kusaidia wengine kupitia shirika hilo. Kuna habari kwa ufupi tukimulika ghasia Darfur, Sudan halikadhalika CAR na pia neno la wiki leo ni maana ya Ugua Pole! Karibu na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
10'45"