22 Januari 2021
Pakua
Leo Ijumaa ni mada kwa kina ikijikita katika harakati za ukuzaji wa lugha ya kiswahili nchini Tanzania na nje ya mipaka hiyo kupitia kufundisha lugha hiyo adhimu wageni bila kusahau umuhimu wa kujumuisha watu wenye ulemavu katika harakati hizo. Hata hivyo tuna Habari kwa Ufupi ikimulika ukanda wa Sahel, Sudan na Syria na mwishoni ni maana ya sentensi na mchambuzi ni Aida Mutenyo kutoka Uganda. Mwenyeji wako leo ni Grace Kaneiya.
Audio Credit
GRACE KANEIYA
Audio Duration
9'56"