Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Januari 2021

20 Januari 2021

Pakua

Habari njema! Idhaa yetu ya Kiswahili ya Umoja wa Maitafa yaibuka kidedea katika tuzo za kimataifa za Kiswahili za Shaaban Robert katika  ukuzaji wa msamiati! Hiyo ni habari kuu leo hii tukimulika pia wanadiplomasia na matumizi ya lugha hiyo adhimu kwenye Umoja wa Mataifa na maoni ya wachapishaji katika tamasha la Kiswahili nchini Tanzania. Tunamulika pia Cabo Delgado hali inazidi kuwa mbaya, na makala leo wananchi wa Uganda na maoni yao baada ya intaneti kurejeshwa. Karibu na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
11'42"