Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: Maana ya Sentensi na aina zake

Neno la Wiki: Maana ya Sentensi na aina zake

Pakua

Leo Ijumaa ni wasaa wa kujifunza lugha ya Kiswahili. Na leo hii Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika Vyuo Vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo akiwa Uganda anatufafanulia maana ya "Sentensi" Anataja aina sentensi kama vile za ombi au rai, sentensi sahili, ambatano na changamano.  Fuatana naye kwa kina katika uchambuzi huu ambao pia utaendelea Ijumaa ijayo.

Audio Credit
Flora Nducha/Aida Mutenyo
Audio Duration
3'16"
Photo Credit
UN