Waandishi wa habari nao wapata elimu kuhusu SDGs Tanzania
Pakua
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam kimewaelimisha waandishi wa habari wa Morogoro Tanzania kuhusu Malengo ya maendeleo endelevu. Kupitia makala hii iliyoandaliwa na Ahimidiwe Olotu, Stella Vuzo wa Kituo hicho cha habari cha Umoja wa Mataifa anaanza kwa kueleza nia ya mafunzo.
Audio Credit
Ahimidiwe Olotu/Stella Vuzo
Audio Duration
2'57"