Mimi nina uwezo wa kubeba mimba miezi 9, siwezi nikanza kudai mwanaume naye abebe mimba-Getrude Mongela
Pakua
Miaka mitano iliyopita, viongozi wa ulimwengu walifikia azimio kwamba, Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu, SDGs, kwa uratibu wa Umoja wa Mataifa, inabidi yawe yamefikiwa ifikapo mwaka 2030. Bi. Getrude Mongela, ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa mkutano wa 4 wa wanawake uliofanyika Beijing China miaka 25 iliyopita, kupitia mahojiano na Stella Vuzo wa Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam Tanzania, anaeleza kuhusu lengo namba 5, na mtazamo wake kuhusu usawa wa kijinsia.
Audio Credit
Anold Kayanda/Stella Vuzo
Audio Duration
3'33"