Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Soko la wakulima sasa liko wazi baada ya kufungua wakati wa covid-19

Soko la wakulima sasa liko wazi baada ya kufungua wakati wa covid-19

Pakua

Shirika la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa WFP wiki hii limelifungua  tena soko kubwa la wakulima kwenye kambi ya wakimbizi wa Rohingya ya Cox’s Bazar nchini Bangladesh baada ya kulifunga kwa miezi kadhaa kufuatia mlipuko wa janga la corona au COVID-19. Soko hilo ambalo ni sehemu ya mradi wa WFP ni neema sio tu kwa wakimbizi bali pia jamii inayowahifadhi.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'35"
Photo Credit
Muse Mohammed/IOM