Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukosefu wa utaifa wamwacha mama wa watoto wanne katika mazingira ya shida juu ya shida

Ukosefu wa utaifa wamwacha mama wa watoto wanne katika mazingira ya shida juu ya shida

Pakua

Kutana na Mpho Modise, mama wa watoto wanne ambaye licha ya kuishi nchini Afrika Kusini hana uhakika wa utaifa wake na hivyo anashindwa kupata huduma za msingi kama vile afya na hofu yake kubwa ni kwamba shida inayomkabili yeye ya kukosa utaifa inaweza kuhamia kwa watoto wake labda apate utaifa wa Afrika Kusini.

Audio Credit
Flora Nducha- Ahimidiwe Olotu
Audio Duration
2'21"
Photo Credit
UNICEF/Frank Dejongh