FUWAVITA, daraja kwa wanawake wenye ulemavu kupata stadi nchini Tanzania
Pakua
Nchini Tanzania, taasisi ya FUWAVITA yaani Furaha ya Wanawake Viziwi Tanzania imekuwa ikiwawezesha wanawake wenye ulemavu nchini humo hususani wanawake viziwi kupata stadi za uongozi na ujasiriamali. Ahimidiwe Olotu wa Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa amemhoji mwanzilishi wa taasisi hiyo, Aneth Gerana Isaya kupitia mkalimani wa lugha ya ishara Bwana Billbosco Muna.
Audio Credit
Flora Nducha- Ahimidiwe Olotu
Audio Duration
2'