Sio ajira tu hata ujira umeathirika kutokana na uwepo wa COVID-19 2 Disemba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la kazi duniani ILO imesema janga la corona au COVID-19 limezidisha madhila kwa wafanyakazi ambao mishahara yao ilikuwa tayari chini ya kiwango cha chini kinachohitajika Audio Credit Flora Nducha- Assumpta Massoi Audio Duration 2'21" Photo Credit ILO Photo/Kevin Cassidy Ajira