Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sio ajira tu hata ujira umeathirika kutokana na uwepo wa COVID-19

Sio ajira tu hata ujira umeathirika kutokana na uwepo wa COVID-19

Pakua

Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la kazi duniani ILO imesema janga la corona au COVID-19 limezidisha madhila kwa wafanyakazi ambao mishahara yao ilikuwa tayari chini ya kiwango cha chini kinachohitajika

Audio Credit
Flora Nducha- Assumpta Massoi
Audio Duration
2'21"
Photo Credit
ILO Photo/Kevin Cassidy