Dunia ikiadhimisha siku ya ukimwi duniani, UN nayo imo
Pakua
Wakati nguvu za dunia zikielekezwa katika janga la corona au COVID-19, siku ya ukimwi duniani ni kumbusho kwamba kuna haja ya kuendelea kutilia maanani janga lingine kubwa ambalo linaikabili dunia kwa karibu miaka 40 sasa tangu lilipozuka amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'39"