Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa FAO nchini Yemen ni mfano wa mgeni njoo mwenyeji apone

Mradi wa FAO nchini Yemen ni mfano wa mgeni njoo mwenyeji apone

Pakua

Nchini Yemen katika jimbo la kusini-magharibi, la Ibb, mbinu mpya za umwagiliaji kwa kutumia mradi wa kusukuma maji kwa nguvu za sola umeleta nuru mpya na matumaini kwa wakazi wa eneo hilo.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'7"
Photo Credit
© UNICEF/Alessio Romenzi