Mradi wa FAO nchini Yemen ni mfano wa mgeni njoo mwenyeji apone
Pakua
Nchini Yemen katika jimbo la kusini-magharibi, la Ibb, mbinu mpya za umwagiliaji kwa kutumia mradi wa kusukuma maji kwa nguvu za sola umeleta nuru mpya na matumaini kwa wakazi wa eneo hilo.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'7"