Neno la Wiki-Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Pakua
Leo katika mashinani Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya methali, "UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI".
Audio Credit
Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'48"