Vijana na hatua kupunguza athari za COVID-19 Lebanon
Pakua
Nchini Lebanon, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa kushirikiana na shirika la kiraia liitwalo LOST, linajumuisha vijana katika kusaidia watu kukabiliana na athari za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona au COVID-19.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
1'58"