Mwanaharakati wa haki za wanawake aanzisha mahala salama kambini Cox's Bazaar
Pakua
Kutana na mwanamke mwanasheria na mwanaharakati wa haki za wanawake Razia Sultana ambaye ameanzisha mahala salama kwenye kambi ya Cox’s Bazaar nchini Bangladesh kwa ajili ya kuwapa msaada wa kisaikolojia wanawake wakimbizi wa Rohingya kutoka Myanmar waliopitia ukatilia wa kijinsia au GBV.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Sauti
2'52"