Wazee wazungumza historia ya mafuriko kwenye Ziwa Albert
Pakua
Maelfu ya watu wanendelea kuathiriwa na mafuriko yanayoshuhudiwa katikaa meneo mbalimbali hasa yale ya Ziwani nchini Uganda.
Licha ya onyo kutoka kwa serikali na asasi za kiraia kuwa mafuriko haya yanaweza kuendelea, mpaka sasa baadhi ya watu wanahama mita chache wakiwa na matumaini kwamba maji haya yatapungua mambo yarejee kama kawaida.
Hata hivyo, watu wa asili kwenye Ziwa Albert wanaonya kuwa mambo bado kutokana na mfano kama huo ulioshuhudiwa na waliokuwepo miaka ya elfu moja kendamia sitini.
Je, ilikuwaje? Nani ni mwathirika zaidi mwaka huu kati ya wenyeji na wahamiaji?
Pata taarifa zaidi katika mahojiano baina ya John Kibego na Mzee Baranaba Bagadira Kakura wa ufukwe wa Wanseko katika wilaya ya Buliisa
Audio Credit
Anold Kayanda/ John Kibego
Audio Duration
3'58"