Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashirika ya UN yaelezea hofua yake kutofikia wakimbizi 100,000 Tigray, Ethiopia

Mashirika ya UN yaelezea hofua yake kutofikia wakimbizi 100,000 Tigray, Ethiopia

Pakua

Mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo la mpango wa chakula duniani WFP na la kuhudumia Watoto UNICEF, leo yameelezea hofu yake ya kushindwa kuwafikia wakimbizi 100,000 wakiwemo watoto katika jimbo la Tigray Ethiopia kwa misaada muhimu ya kuokoa maisha ikiwemo chanjo na elimu.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Audio Duration
2'42"
Photo Credit
© UNHCR/Hazim Elhag