Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafunzo kupima watoto utapiamlo Niger ni hali ya kumfundisha mtu kuvua ili apata samaki kila wakati

Mafunzo kupima watoto utapiamlo Niger ni hali ya kumfundisha mtu kuvua ili apata samaki kila wakati

Pakua

Wahenga wanasema usimpe mtu samaki bali mfundishe kuvua ilia pate samaki kila wakati, na hivyo ndivyo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Niger limefanya kwa kuwapatia wazazi ujuzi wa kupimia watoto wao utapiamlo nyumbani badala ya kusubiri kwenda vituo vya afya kama njia mojawapo ya kutokomeza janga hilo linalokumba takribani watoto 400,000 kila mwaka.  

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
2'5"
Photo Credit
UNICEF VIDEO