Fanyeni kila muwezalo kutimiza ndoto zenu-Amina J. Mohammed
Pakua
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed ambaye yuko ziarani Afrika Magharibi na ukanda wa Sahel amewachagiza wasichana katika eneo la Maiduguri jimbo la Borno nchini Nigeria kufanya kila wawezalo kutimiza ndoto zao kwani hakuna linaloshindikana.
Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
1'38"