Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu 260,000 walioathirika na kimbunga Goni Ufilipino wanahitaji msaada

Watu 260,000 walioathirika na kimbunga Goni Ufilipino wanahitaji msaada

Pakua

Mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na wadau wengine wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dola milioni 45.5 ili kuwasaidia watu 260,000 katika maeneo yaliyoathirika zaidi na kimbunga Goni nchini Ufilipino.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'17"
Photo Credit
OCHA/Martin San Diego