WHO na mbinu kabambe kukabiliana na COVID-19 Lebanon
Pakua
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linatoa msaada wa aina mbalimbali kusaidia vita dhidi ya janga la corona au COVID-19 nchini Lebanon hasa kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa baada ya milipuko iliyotokea mwezi Agosti mwaka huu mjini Beirut.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'17"