Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO na mbinu kabambe kukabiliana na COVID-19 Lebanon

WHO na mbinu kabambe kukabiliana na COVID-19 Lebanon

Pakua

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linatoa msaada wa aina mbalimbali kusaidia vita dhidi ya janga la corona au COVID-19 nchini Lebanon hasa kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa  baada ya milipuko iliyotokea mwezi Agosti mwaka huu mjini Beirut.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'17"
Photo Credit
UN News/Abdelmonem Makki