Mabadiliko ya tabianchi yskishuhudiwa Niger, IFAD yatoa muarobaini
Pakua
Nchini Niger, mfuko wa maendeleo ya kilimo wa Umoja wa Mataifa, IFAD kwa kushirikiana na serikali unasaidia wazalishaji wadogo wa nafaka hususani vikundi vya wanawake katika eneo la Mouradi ambao mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri sana maisha yao ili waweze kukabiliana na hali inayobadilika na pia majanga ya baadaye.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'40"